Kliniki 16 zinazonuiwa kusaidi wanaotumia madawa za kulevya haswa aina ya heroin zimezinduliwa rasmi katika eneo la Pwani kupitia wizara ya afya. Aidha waathiriwa wa dawa hiyo ya heroin watapata matibabu bila malipo huku oparesheni iliyoanzishwa ya kuangamiza uuzaji na matumizi ya dawa za kaulevya katika eneo hilo ikiendelea
The post Vituo 16 vya kuwatibu waraibu sugu vyazinduliwa Pwani appeared first on Mediamax Network Limited.