Mchanganuzi mtajika, wa maswala ya siasa Mutahi Ngunyi hatimaye, amekutana na mwenyekiti wa LSK Apollo Mboya, katika juhudi za kuomba msamaha, baada ya kutoa matamshi kwenywe mtando wake wa Twitter yalioudhi jamii moja nchini. Akizungumza, kwenye afisi yake, alipokuwa amemwalika, Mboya, ambaye, alikuwa ameamua, kumshtaki kwa tume ya kitaifa, ya uwiano na utangamano, Mutahi ameomba ...
The post Mutahi Ngunyi alazimika kutoa mbuzi kuomba radhi jamii ya waluo appeared first on Mediamax Network Limited.