https://www.youtube.com/watch?v=upOJ9sHBPOY
Ni nani angeweza kudhania kuwa leso ya kawaida ingetumika kutengeneza vazi rasmi la kaunti?.Sasa hii ni azma kamili katika kaunti ya Kilifi, ambako dhana hii imeibuka kuwa sheria kamili na kuifanya kaunti hiyo kuwa ya kwanza kuwa vazi rasmi.
Vazi hili ambalo lina lengo la kuimarisha sekta ya Utalii na hisia za kujitambua kama mKenya, litavaliwa na kila mkaazi wa Kilifi kama njia ya kuashiria umoja na uzalendo.
The post Kaunti ya Kilifi yazindua vazi rasmi la kwanza ya kaunti nchini appeared first on Mediamax Network Limited.