https://www.youtube.com/watch?v=8Fep_kfGnj0
Sale Wanjala jamaa aliyewashangaza wengi hapo jana baada ya kudandia sehemu ya chini ya helikopta ikipaa huko Bungoma, sasa anauguza majeraha katika hospitali kuu ya Bungoma.
Tulipomtembelea, hospitalini, jamaa huyo tayari alikuwa na pingu mkononi, akitarajwia kufikishwa mahakamani hivi punde, kwa kuhatarisha maisha yake na wengine.
The post Wanjala aliyedandia chini ya ndege alazwa hospitali polisi wakimsubiri. appeared first on Mediamax Network Limited.