Quantcast
Channel: NEWS – Mediamax Network Limited
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

Sakata Ya Jaji Tunoi : Shahidi Kiplagat alitafuta usaidizi wa polisi alipwe Sh 30M

$
0
0

Screen Shot 2016-04-26 at 7.56.32 PM

https://www.youtube.com/watch?v=ukJ9yTkpRy0

Kikao kinachochunguza sakata ya jaji Philip Tunoi na gavana wa Nairobi Evans Kidero kimeendelea leo, huku ikiibuka kwamba mshukiwa Geoffrey Kiplagat al maarufu Lelmet alijiwasilisha kwa maafisa wa polisi hususan makachero wa CID, akitaka wamsaidie apate malipo yake ya shillingi millioni 30 kutoka kwa jaji Tunoi na gavana Kidero.

Hata hivyo, polisi wamejitetea kuwa hawakumkamata  Lelmet ingawa alikuwa akitaka pesa kwa njia isiyo halali wakisema kuwa walidhania yeye ndiye aliyepasua mbarika kuhusiana na sakata hiyo.

The post Sakata Ya Jaji Tunoi : Shahidi Kiplagat alitafuta usaidizi wa polisi alipwe Sh 30M appeared first on Mediamax Network Limited.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

Trending Articles