Quantcast
Channel: NEWS – Mediamax Network Limited
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

Mbunge Johanna Ngeno kuwasilisha hoja ya kuvunja baraza la mawaziri

$
0
0

Wajumbe wa Jubilee wameendeleza shinikizo lao kumtaka waziri wa ugatuzi Anne Waiguru kujiondoa serikalini. Shinikizo hilo limejiri huku mbunge wa  Emurua Dikirr Johanna Ng’eno  akianza shughuli kabambe Jumatatu wiki ijayo kukusanya sahihi  za kumlazimisha rais Uhuru Kenyatta kuvunjilia mbali baraza la mawazi Naye kinara  wa CORD Kalonzo Musyoka ameunga mkono hatua hio ya wabunge na ...

The post Mbunge Johanna Ngeno kuwasilisha hoja ya kuvunja baraza la mawaziri appeared first on Mediamax Network Limited.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

Trending Articles