Quantcast
Channel: NEWS – Mediamax Network Limited
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

CIPK Wapinga Maandamano Ya CORD Dhidi Sheria Za Uchaguzi.

$
0
0

CIPK

Katibu mkuu wa baraza la maimamu na wahubiri nchini Mohamed Khalifa , ametilia shaka malengo ya upinzani akisema kufikia sasa hawajaonyesha nia ya kutafuta suluhu kwa matatizo yaliyopo.

Amewataka wananchi kupuuza maandamano ya kitaifa yanayopangwa na CORD ikizingatiwa kuwa maandamano ya awali  yalisababisha maafa na uharibifu wa mali.

The post CIPK Wapinga Maandamano Ya CORD Dhidi Sheria Za Uchaguzi. appeared first on Mediamax Network Limited.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 12346

Trending Articles