https://www.youtube.com/watch?v=O00Oqg3XE9k
Kukanda viungo vya mwili wa mtoto wako ni muhimu ili kuhakikisha mwanao anakua kwa njia inayofaa. Lakini ni wangapi wanaoelewa njia mwafaka ya kutekeleza shughuli hiyo ya ukandaji?
Swala hili lilimpelekea mwanahabari wetu Grace Kuria kuzuru eneo la Sarit Expo Centre ambapo waliyohudhuria walipewa mafunzo ya kuwakanda watoto na kutuandalia taarifa ifuatayo.
The post Umuhimu wa wazazi kumnyoosha viungo na kumuongoa mtoto appeared first on Mediamax Network Limited.